Zaburi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika wema na fadhili zenye upendo zitanifuata siku zote za maisha yangu;+Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku nyingi.+ Ufunuo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.
6 Kwa hakika wema na fadhili zenye upendo zitanifuata siku zote za maisha yangu;+Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku nyingi.+
15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.