14 ‘Nami nitaleta kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli;+ nao watafanya katika Edomu kulingana na hasira yangu na kulingana na ghadhabu yangu; nao watalazimika kujua kisasi changu ni nini,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’