Zaburi 36:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Maneno ya kinywa chake ni kuumiza na udanganyifu;+Ameacha kuwa na ufahamu wa kufanya mema.+ Zaburi 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, wewe—wewe umechukia nidhamu,+Nawe unaendelea kuyatupa maneno yangu nyuma yako.+