Mambo ya Walawi 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+ Maombolezo 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+
36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+
19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+