Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+

  • Methali 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+

  • Isaya 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watu elfu moja watatetemeka kwa sababu ya kemeo la mmoja;+ mtakimbia kwa sababu ya kemeo la watano mpaka mtakapokuwa mmebaki kama mlingoti juu ya kilele cha mlima na kama ishara juu ya kilima.+

  • Ezekieli 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na itakuwa kwamba, ikiwa watakuambia ‘Kwa nini unaugua?’+ utasema, ‘Kwa sababu ya habari fulani.’+ Kwa maana hakika itakuja,+ na kila moyo utayeyuka+ na mikono yote itaanguka chini na kila roho itahuzunika na magoti yote yatadondoka maji.+ ‘Tazama! Hakika itakuja+ na kutokezwa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki