Ezekieli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lazima wakati uje, siku ile lazima ifike. Mnunuzi na ashangilie;+ naye muuzaji asianze kuomboleza, kwa maana kuna hasira juu ya umati wake wote. 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+
12 Lazima wakati uje, siku ile lazima ifike. Mnunuzi na ashangilie;+ naye muuzaji asianze kuomboleza, kwa maana kuna hasira juu ya umati wake wote.
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+