17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+
6 Na Yehova alikuwa amefanya kambi ya Wasiria isikie+ sauti ya magari ya vita, sauti ya farasi, sauti ya jeshi kubwa,+ hivi kwamba wakaambiana: “Tazama! Mfalme wa Israeli amekodi juu yetu wafalme wa Wahiti+ na wafalme wa Misri+ ili waje juu yetu!”