2 Wafalme 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+ Zaburi 35:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+ Yeremia 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakika watu watawaita fedha iliyokataliwa,+ kwa maana Yehova amewakataa.”+
20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+
4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+