Yeremia 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+ Maombolezo 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, hakika umetukataa.+ Umetukasirikia sana.+ Hosea 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mungu wangu+ atawakataa, kwa maana hawakumsikiliza,+ nao watakuwa wakimbizi katikati ya mataifa.+
19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+