15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
37 Yehova amesema hivi: “‘Mbingu zilizo juu zikiweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini ikiweza kuchunguzwa,+ vivyo hivyo mimi mwenyewe ningeweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’+ asema Yehova.”