Zaburi 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mimi—nimekutegemea wewe, Ee Yehova.+Nimesema: “Wewe ni Mungu wangu.”+ Isaya 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+