Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nimemwambia Yehova: “Wewe ni Yehova; wema wangu si kwa ajili yako,+

  • Zaburi 43:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+

      Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?

      Mngojee Mungu,+

      Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu na kuwa ndiye Mungu wangu.+

  • Yohana 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yesu akamwambia: “Acha kuning’ang’ania. Kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu+ zangu, nawe uwaambie, ‘Mimi ninapanda kwenda kwa Baba+ yangu na Baba yenu na kwa Mungu wangu+ na Mungu wenu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki