Ayubu 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ikiwa kweli uko upande wa haki, unampa nini,Au, je, yeye anapokea nini kutoka mkononi mwako?+ Waroma 11:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Au, “Ni nani amempa yeye kwanza, hivi kwamba iwe lazima arudishiwe?”+