16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
17 “Ninyi mmemchosha Yehova kwa maneno yenu,+ nanyi mmesema, ‘Tumemchosha kwa njia gani?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayefanya mabaya ni mwema machoni pa Yehova, naye amependezwa na watu wa aina hiyo’;+ au, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’ ”+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+