Methali 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao+ wenyewe lakini ambao bado hawajaoshwa mavi yao.+ Ezekieli 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “ ‘Nayo nyumba ya Israeli hakika itasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Nazo njia zangu, je, si sawa, Ee nyumba ya Israeli?+ Je, njia zenu sizo ambazo si sawa?’+
29 “ ‘Nayo nyumba ya Israeli hakika itasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Nazo njia zangu, je, si sawa, Ee nyumba ya Israeli?+ Je, njia zenu sizo ambazo si sawa?’+