Ezekieli 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Lakini watu wa nyumba ya Israeli watasema: “Njia ya Yehova si ya haki.” Je, ni kweli kwamba ni njia zangu ambazo si za haki, enyi watu wa nyumba ya Israeli?+ Je, si njia zenu ambazo si za haki?’ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:29 w02 3/1 30 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:29 Mnara wa Mlinzi, 3/1/2002, uku. 30 Mnara wa Mlinzi,8/15/2013, kur. 11-12
29 “‘Lakini watu wa nyumba ya Israeli watasema: “Njia ya Yehova si ya haki.” Je, ni kweli kwamba ni njia zangu ambazo si za haki, enyi watu wa nyumba ya Israeli?+ Je, si njia zenu ambazo si za haki?’