Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+ Zaburi 145:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+Na mshikamanifu katika kila jambo analotenda.+ Isaya 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,Au kumfundisha ujuzi,Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+
25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+
14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,Au kumfundisha ujuzi,Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+