Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+

  • Zaburi 145:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+

      Na mshikamanifu katika kila jambo analotenda.+

  • Isaya 40:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,

      Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,

      Au kumfundisha ujuzi,

      Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki