Zaburi 92:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+ Methali 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+
15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+
3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+