Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini ikiwa ni kitu fulani kilichoumbwa ambacho Yehova ataumba,+ nayo nchi ifungue kinywa chake na kuwameza+ na kila kitu kilicho chao, nao washuke chini wakiwa hai mpaka katika Kaburi,*+ ndipo hakika mtajua kwamba watu hawa wamemtendea Yehova bila heshima.”+

  • Ufunuo 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale wanadamu wakaunguzwa kwa joto kubwa, lakini wakalikufuru jina+ la Mungu, aliye na mamlaka+ juu ya mapigo haya, nao hawakutubu ili wampe utukufu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki