Ufunuo 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 nao hawakutubu mauaji+ yao wala mazoea yao ya kuwasiliana na pepo+ wala uasherati wao wala wizi wao. Ufunuo 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+
21 nao hawakutubu mauaji+ yao wala mazoea yao ya kuwasiliana na pepo+ wala uasherati wao wala wizi wao.
7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+