Kutoka 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+ Zaburi 124:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.”+ Zaburi 146:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+Wa bahari, na vyote vilivyomo,+Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+
11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+
6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+Wa bahari, na vyote vilivyomo,+Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+