Mwanzo 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+ Zaburi 121:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msaada wangu unatoka kwa Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+ Zaburi 134:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova na awabariki kutoka Sayuni,+Yeye ambaye ni Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+ Matendo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+
24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+