Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+

  • Zaburi 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+

      Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+

  • Zaburi 115:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ninyi ndio mliobarikiwa na Yehova,+

      Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+

  • Zaburi 124:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+

      Mtengenezaji wa mbingu na dunia.”+

  • Isaya 40:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Inueni macho yenu juu, mwone. Ni nani ameviumba vitu hivi?+ Ni Yeye anayelileta jeshi lake kulingana na hesabu, ambaye zote anaziita kwa jina.+ Kutokana na wingi wa nguvu zenye msukumo,+ yeye pia akiwa hodari katika nguvu, hakuna hata moja kati ya hizo inayokosekana.

  • Matendo 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama Huyu alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyofanywa kwa mikono,+

  • Ufunuo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki