Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.

  • Kutoka 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+

  • Kumbukumbu la Torati 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.+

  • Marko 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema?+ Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+

  • Yohana 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+

  • Waroma 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

  • 1 Timotheo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kulingana na habari njema yenye utukufu ya Mungu mwenye furaha,+ ambayo mimi nilikabidhiwa.+

  • 1 Timotheo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+

  • Waebrania 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+

  • 1 Yohana 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sisi wenyewe tumejua na tumeamini upendo+ ambao Mungu anao kwa habari yetu.

      Mungu ni upendo,+ na yeye ambaye hukaa katika upendo+ hukaa katika muungano na Mungu na Mungu hukaa katika muungano+ na yeye.

  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne,+ kila mmoja wao ana mabawa sita;+ kuzunguka pande zote na chini yao wamejaa macho.+ Nao hawapumziki mchana na usiku huku wakisema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova+ Mungu, Mweza-Yote,+ aliyekuwako+ na aliyeko na anayekuja.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki