Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+ Ezekieli 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nayo mizingo yake, ilikuwa na kimo hivi kwamba yaliogopesha; nayo mizingo yake ilikuwa imejaa macho kuyazunguka yote manne pande zote.+ Ezekieli 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mwili wao wote na migongo yao na mikono yao na mabawa yao na magurudumu yalijaa macho kuzunguka pande zote.+ Hao wanne walikuwa na magurudumu yao. Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
18 Nayo mizingo yake, ilikuwa na kimo hivi kwamba yaliogopesha; nayo mizingo yake ilikuwa imejaa macho kuyazunguka yote manne pande zote.+
12 Na mwili wao wote na migongo yao na mikono yao na mabawa yao na magurudumu yalijaa macho kuzunguka pande zote.+ Hao wanne walikuwa na magurudumu yao.
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+