Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nayo mizingo yake, ilikuwa na kimo hivi kwamba yaliogopesha; nayo mizingo yake ilikuwa imejaa macho kuyazunguka yote manne pande zote.+

  • Ufunuo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mbele ya kile kiti cha ufalme kuna kitu mfano wa bahari kama kioo,+ kama fuwele.

      Na katikati ya kile kiti cha ufalme na kuzunguka kile kiti kuna viumbe hai+ wanne ambao wamejaa macho mbele na nyuma.

  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne,+ kila mmoja wao ana mabawa sita;+ kuzunguka pande zote na chini yao wamejaa macho.+ Nao hawapumziki mchana na usiku huku wakisema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova+ Mungu, Mweza-Yote,+ aliyekuwako+ na aliyeko na anayekuja.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki