Kutoka 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba, ya kuoshea,+ nawe utaiweka kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+ 1 Wafalme 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ ya mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, iliyo mviringo pande zote; na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+
18 “Utafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba, ya kuoshea,+ nawe utaiweka kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+
23 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ ya mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, iliyo mviringo pande zote; na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+