8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+
11 Kisha akatapanya sehemu yake mara saba kwenye madhabahu na kuitia mafuta madhabahu+ na vyombo vyake vyote na ile beseni na kinara chake ili kuvitakasa.
38 Naye akatengeneza beseni+ 10 za shaba. Kila beseni ingeweza kujazwa kwa vipimo 40 vya bathi. Kila beseni ilikuwa na urefu wa mikono 4. Palikuwa na beseni moja juu ya kila behewa kwa ajili ya yale mabehewa 10.