11 Kisha akatapanya sehemu yake mara saba kwenye madhabahu na kuitia mafuta madhabahu+ na vyombo vyake vyote na ile beseni na kinara chake ili kuvitakasa.
23 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ ya mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, iliyo mviringo pande zote; na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+