Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba, ya kuoshea,+ nawe utaiweka kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+

  • Kutoka 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa na vyombo vyake vyote,+ na ile beseni na kinara chake,+

  • Kutoka 40:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nawe utaweka ile beseni katikati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+

  • Mambo ya Walawi 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha akatapanya sehemu yake mara saba kwenye madhabahu na kuitia mafuta madhabahu+ na vyombo vyake vyote na ile beseni na kinara chake ili kuvitakasa.

  • 1 Wafalme 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ ya mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, iliyo mviringo pande zote; na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki