Kutoka 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba, ya kuoshea,+ nawe utaiweka kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+ Kutoka 38:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+
18 “Utafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba, ya kuoshea,+ nawe utaiweka kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+
8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+