Kutoka 38:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.+ Kutoka 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nawe utaweka ile madhabahu+ ya matoleo ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa maskani ya hema la mkutano,
38 Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.+
6 “Nawe utaweka ile madhabahu+ ya matoleo ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa maskani ya hema la mkutano,