Kutoka 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Nawe utafanya madhabahu ya mbao za mshita, mikono mitano urefu wake na mikono mitano upana wake. Madhabahu+ hiyo itakuwa mraba, na kimo chake kitakuwa mikono mitatu. Kutoka 40:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nawe utaitia mafuta madhabahu ya toleo la kuteketezwa na vyombo vyake vyote na kuitakasa madhabahu+ hiyo, nayo itakuwa madhabahu takatifu zaidi.+ Waebrania 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kutokana nayo.+
27 “Nawe utafanya madhabahu ya mbao za mshita, mikono mitano urefu wake na mikono mitano upana wake. Madhabahu+ hiyo itakuwa mraba, na kimo chake kitakuwa mikono mitatu.
10 Nawe utaitia mafuta madhabahu ya toleo la kuteketezwa na vyombo vyake vyote na kuitakasa madhabahu+ hiyo, nayo itakuwa madhabahu takatifu zaidi.+
10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kutokana nayo.+