38Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.+
29 Naye akaweka ile madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ili atoe juu yake toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.