Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.+

  • Kutoka 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye akaweka ile madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ili atoe juu yake toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akatengeneza ile madhabahu ya shaba,+ urefu wake ukiwa ni mikono 20, na upana wake mikono 20, na kimo chake mikono 10.+

  • Waebrania 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kutokana nayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki