Kutoka 40:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akaweka madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ kwenye mlango wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano, ili atoe juu yake dhabihu za kuteketezwa+ na matoleo ya nafaka, kama Yehova alivyomwamuru Musa.
29 Akaweka madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ kwenye mlango wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano, ili atoe juu yake dhabihu za kuteketezwa+ na matoleo ya nafaka, kama Yehova alivyomwamuru Musa.