Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kuhusu wale viumbe hai wanne, kila mmoja wao alikuwa na mabawa sita; walikuwa na macho kila mahali pande zote na chini yao.+ Na mchana na usiku wanaendelea kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova*+ Mungu, Mweza-Yote, aliyekuwako na aliyeko na anayekuja.”+

  • Ufunuo 4:8
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne, kila mmoja wao peke yake ana mabawa sita; kuwazunguka na chini yao wamejaa macho. Nao hawana pumziko lolote mchana na usiku wasemapo: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova Mungu, Mweza-Yote, aliyekuwako na aliyeko na anayekuja.”

  • Ufunuo
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 4:8 re 81, 129

  • Ufunuo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 4:8

      Furahia Maisha Milele!, somo la 4

      Upeo wa Ufunuo, kur. 81, 129

      Mnara wa Mlinzi,

      5/1/1986, uku. 15

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki