-
Ufunuo 4:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne, kila mmoja wao peke yake ana mabawa sita; kuwazunguka na chini yao wamejaa macho. Nao hawana pumziko lolote mchana na usiku wasemapo: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova Mungu, Mweza-Yote, aliyekuwako na aliyeko na anayekuja.”
-