8 Kuhusu wale viumbe hai wanne, kila mmoja wao alikuwa na mabawa sita; walikuwa na macho kila mahali pande zote na chini yao.+ Na mchana na usiku wanaendelea kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova+ Mungu, Mweza-Yote, aliyekuwako na aliyeko na anayekuja.”+