Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.” Luka 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 kwa sababu Mwenye nguvu amenitendea makuu, nalo jina lake ni takatifu;+
3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”