Ezekieli 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na kutoka katikati yake kulikuwa na mfano wa viumbe hai wanne,+ na hivi ndivyo walivyoonekana: walifanana na mtu wa udongo. Ufunuo 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wakati wowote hao viumbe hai wanapompa utukufu na heshima na shukrani+ Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme,+ Yule anayeishi milele na milele,+
5 Na kutoka katikati yake kulikuwa na mfano wa viumbe hai wanne,+ na hivi ndivyo walivyoonekana: walifanana na mtu wa udongo.
9 Na wakati wowote hao viumbe hai wanapompa utukufu na heshima na shukrani+ Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme,+ Yule anayeishi milele na milele,+