Ezekieli 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaendelea kuona, na, tazama! kulikuwa na magurudumu manne kando ya makerubi, gurudumu moja kando ya kerubi mmoja na gurudumu moja kando ya kerubi mwingine,+ na kuonekana kwa magurudumu hayo kulikuwa kama mng’ao wa jiwe la krisolito. Ufunuo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mbele ya kile kiti cha ufalme kuna kitu mfano wa bahari kama kioo,+ kama fuwele. Na katikati ya kile kiti cha ufalme na kuzunguka kile kiti kuna viumbe hai+ wanne ambao wamejaa macho mbele na nyuma.
9 Nami nikaendelea kuona, na, tazama! kulikuwa na magurudumu manne kando ya makerubi, gurudumu moja kando ya kerubi mmoja na gurudumu moja kando ya kerubi mwingine,+ na kuonekana kwa magurudumu hayo kulikuwa kama mng’ao wa jiwe la krisolito.
6 Na mbele ya kile kiti cha ufalme kuna kitu mfano wa bahari kama kioo,+ kama fuwele. Na katikati ya kile kiti cha ufalme na kuzunguka kile kiti kuna viumbe hai+ wanne ambao wamejaa macho mbele na nyuma.