12 Na mwili wao wote na migongo yao na mikono yao na mabawa yao na magurudumu yalijaa macho kuzunguka pande zote.+ Hao wanne walikuwa na magurudumu yao.
10 Kwa maana ni nani ameidharau siku ya mambo madogo?+ Nao watafurahi+ na kuona timazi mkononi mwa Zerubabeli. Haya saba ndiyo macho ya Yehova.+ Yanaenda huku na huku duniani kote.”+