Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye akaondoka huko kwenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Betheli.+ Akapiga hema lake, Betheli likiwa upande wa magharibi, na Ai+ upande wa mashariki. Ndipo akamjengea Yehova madhabahu huko+ naye akaanza kuliitia jina la Yehova.+

  • Mwanzo 27:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo akaja karibu akambusu, naye akanusa harufu ya mavazi yake.+ Naye akaanza kumbariki akisema:

      “Tazama, harufu ya mwanangu ni kama harufu ya shamba ambalo Yehova amebariki.

  • Mwanzo 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yakobo akaamka katika usingizi wake, akasema: “Kwa kweli Yehova yupo mahali hapa na mimi mwenyewe sikujua hilo.”

  • 2 Samweli 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na kuna taifa gani moja duniani lililo kama watu wako Israeli,+ ambao Mungu alikwenda kujikombolea mwenyewe wawe kikundi cha watu+ wake na kujipa jina+ na kuwafanyia mambo makubwa na yenye kuogopesha+—kufukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, ambao umejikombolea+ mwenyewe kutoka Misri?

  • Zaburi 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+

      Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+

      Higayoni. Sela.

  • Isaya 52:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa sababu hiyo watu wangu watalijua jina langu,+ kwa sababu hiyo katika siku hiyo, kwa sababu mimi ndiye Yule anayesema.+ Tazama! Ni mimi.”

  • Yeremia 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa hiyo, tazama, ninawafanya wajue; wakati huu mmoja nitawafanya waujue mkono wangu na nguvu zangu,+ nao watajua kwamba jina langu ni Yehova.”+

  • Yeremia 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 wewe uliyeweka ishara na miujiza katika nchi ya Misri mpaka leo hii na katika Israeli na kati ya wanadamu,+ ili ujifanyie jina, kama ilivyo leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki