Kumbukumbu la Torati 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+ Nehemia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+
26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+
10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+