Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+

  • Methali 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+

  • Yakobo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki