Zaburi 34:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+ Zaburi 138:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+
16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+
6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+