Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+

      Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+

  • Zaburi 145:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Atawatimizia wale wanaomwogopa tamaa yao,+

      Naye atakisikia kilio chao cha kuomba msaada, naye atawaokoa.+

  • Isaya 58:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’

      “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+

  • Yohana 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda-dhambi,+ bali ikiwa mtu yeyote anamwogopa Mungu na anafanya mapenzi yake, yeye humsikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki