Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Zaburi 145:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Atawatimizia wale wanaomwogopa tamaa yao,+Naye atakisikia kilio chao cha kuomba msaada, naye atawaokoa.+ Isaya 58:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+ Yohana 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda-dhambi,+ bali ikiwa mtu yeyote anamwogopa Mungu na anafanya mapenzi yake, yeye humsikiliza.+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+
19 Atawatimizia wale wanaomwogopa tamaa yao,+Naye atakisikia kilio chao cha kuomba msaada, naye atawaokoa.+
9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+
31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda-dhambi,+ bali ikiwa mtu yeyote anamwogopa Mungu na anafanya mapenzi yake, yeye humsikiliza.+