Zaburi 37:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+
40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+