20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+
23 Ndipo mfalme akafurahi sana,+ akaamuru Danieli atolewe ndani ya lile shimo. Na Danieli akatolewa ndani ya lile shimo, wala hakupatwa na dhara lolote, kwa sababu alikuwa amemtegemea Mungu wake.+