4 Hata uzeeni mwa mtu mimi ni Yeye yuleyule;+ na hata wakati wa kichwa chenye mvi cha mtu nitaendelea kubeba.+ Mimi mwenyewe hakika nitatenda,+ ili mimi mwenyewe nichukue na ili mimi mwenyewe nibebe na kuponyosha.+
13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.