Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Matendo 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+