Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Zaburi 116:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Ninajawa na upendo, kwa sababu Yehova husikia+Sauti yangu, kusihi kwangu.+ Yeremia 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+